Loading...
Larger font
Smaller font
Copy
Print
Contents
Tangu Sasa Hata Milele - Contents
  • Results
  • Related
  • Featured
No results found for: "".
  • Weighted Relevancy
  • Content Sequence
  • Relevancy
  • Earliest First
  • Latest First
    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents

    Mshahara wa Zambi

    “Kwa maana mshahara wa zambi ni mauti, lakini zawadi ya Mungu ni uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu.” Wakati ambao uzima ni uriti wa wenye haki, mauti ni sehemu ya waovu. “Mauti ya pili” inawekwa kinyume na uzima wa milele. Waroma 6:23; tazama Ufunuo 20:14.TSHM 265.2

    Kwa matokeo ya zambi ya Adamu, mauti imewekwa juu ya uzao wote wa wanadamu. Wote sawasawa huenda chini kaburini. Na kwa njia ya mpango wa wokovu, wote wanapashwa kuletwa kutoka kwa makaburi yao: “kutakuwa ufufuo wa wafu, wote wenye haki na wasio haki pia.” “Kwa sababu kama katika Adamu wote wanakufa, hivyo wote katika Kristo watafanywa wahai.” Lakini tofauti imefanywa kati ya makundi mawili inayoletwa: “Wote walio katika makaburi watasikia sauti yake, nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliofanya mabaya, kwa ufufuo wa hukumu.” Matendo 24:15; 1 Wakorinto 15:22; Yoane 5:28,29.TSHM 265.3

    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents