Loading...
Larger font
Smaller font
Copy
Print
Contents
Tangu Sasa Hata Milele - Contents
  • Results
  • Related
  • Featured
No results found for: "".
  • Weighted Relevancy
  • Content Sequence
  • Relevancy
  • Earliest First
  • Latest First
    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents

    Mipaka ya Neno

    Mafundisho ya uwongo miongoni mwa makanisa yanaondoa mipaka iliyowekwa na Neno la Mungu. Wachache wanasimamia kwa kukataa kweli moja tu. Wengi wanaweka kando mojawapo kwa ingine ya kanuni za kweli, hata wanapokuwa wasioamini.TSHM 257.1

    Makosa ya elimu ya tabia na sifa za Mungu na dini ya kupendezwa na watu wengi yaliendesha roho nyingi kwa moyo wa mashaka (sceptisim). Haiwezekani kwao kukubali mafundisho ambayo yanayopinga maelezo ya watu juu ya haki, rehema na wema. Kwa hivi mambo haya yanaonyeshwa kama mafundisho ya Biblia, anakataa kuyakubali kama Neno la Mungu.TSHM 257.2

    Neno la Mungu linaangaliwa bila tumaini kwa sababu linakemea na kuhukumu zambi. Wale wasiotaka kutii wanafanya nguvu kupindua mamlaka yake. Wengi wanakufuru ili kutetea uzarau wa kazi yao. Wengine pia, ni wapenda raha kwa kutimiza kitu cho chote ambacho kinaomba kujikana mwenyewe, wanatunza sifa kwa ajili ya hekima kubwa kwa kuteta Biblia.TSHM 257.3

    Wengi wanaona kama sifa kusimama upande wa kutoamini, mashaka, na kukufuru. Lakini chini ya mfano mwema kutapatikana kujitumaini mwenyewe na kiburi. Wengi wanapendezwa katika kupata kujua kitu fulani katika Maandiko kutatiza roho za wengine. Wengine kwa sababu ya kwanza kwa upande usiofaa kwa upendo tu wa mabishano. Lakini wakisha kuonyesha wazi kutoamini, wanajiunga pamoja na wasiomwongopa Mungu.TSHM 257.4

    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents