Loading...
Larger font
Smaller font
Copy
Print
Contents
Tangu Sasa Hata Milele - Contents
  • Results
  • Related
  • Featured
No results found for: "".
  • Weighted Relevancy
  • Content Sequence
  • Relevancy
  • Earliest First
  • Latest First
    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents

    Biblia Yote ni Kiongozi

    Wakati ambapo kujifunza kwa Maandiko kunapoauzwa pasipo roho ya maombi na inayoweza kufundishwa, mafungu ya waziwazi kabisa yatakuwa ya kupotea maana yake ya kweli. Biblia yote inapashwa kutolewa kwa watu kama vile inavyosomwa.TSHM 254.4

    Mungu alitoa neno la haki la unabii; malaika na hata Yesu Mwenyewe alikuja kujulisha kwa Danieli na Yoane vitu ambavyo “vilivyopashwa kuwa upesi.” Ufunuo 1:1. Mambo ya maana inayohu- su wokovu wetu hayakufunuliwa kwa namna ya kutatiza na kuongoza vibaya mtafutaji mwaminifu wa kweli. Neno la Mungu ni wazi kwa wote wanaojifunza sana kwa moyo wenye kuomba.TSHM 254.5

    Kwa kilio, Ukarimu, watu ni vipofu kwa mashauri mpinzani. Anafaulu kuondosha Biblia na kutumia mawazo mengi ya kibinadamu; sheria ya Mungu inawekwa pembeni; na makanisa yanakuwa chini ya utumwa wa zambi yanapojitangaza kuwa huru.TSHM 255.1

    Mungu ameruhusu garika ya nuru kumiminwa ulimwenguni kwa mvumbuzi ya elimu ya ulimwengu wa vyumbe vyo (science). Lakini hata watu wa elimu zaidi, kama hawaongozwi na Neno la Mungu, wanapotea katika kujaribu kuchunguza mahusiano ya maarifa (science) na ufunuo.TSHM 255.2

    Maarifa ya kibinadamu ni ya kipande na si kamili; kwa hiyo wengi hawawezi kupatanisha maoni yao ya maarifa (science) pamoja na Maandiko. Wengi wanakubali tu maelezo kama mambo ya ujuzi, na wanafikiri kwamba Neno la Mungu ni la kujaribiwa kwa “elimu inayoitwa elimu kwa uwongo.” 1 Timoteo 6:20. Kwa sababu hawawezi kueleza Muumba na kazi zake katika sheria za asili, historia ya Biblia inazaniwa kama isioweza kutumainiwau. Wale wanaokuwa na mashaka juu ya Agano la Kale na Agano Jipya kwa mara nyingi wanakwenda hatua mbali zaidi na kutosadiki kuwako kwa Mungu. Walipoachilia nanga yao, wanagonga juu ya miamba ya kutokuwa waaminifu kwa Mungu.TSHM 255.3

    Ni kazi kubwa ya uongo wa Shetani kudumisha watu kubahatisha kwa mambo ambayo Mungu hakuyaulisha. Lusifero akawa bila kurizika kwa sababu siri zote za makusudi ya Mungu hazikufunuliwa kwake, na akakataa maneno yale yaliyofunuliwa. Sasa anatafuta kujaza watu kwa roho ya namna ileile na kuwaongoza pia kutojali amri wazi za Mungu.TSHM 255.4

    Wapungufu wa mafundisho ya kiroho yanayotolewa na moyo wa kujikana, kwa namna vinavyoelezwa, kukubaliwa na kupokelewa kwa bidii kubwa. Shetani anakuwa tayari kutoa kwa tamaa ya moyo, na anapokeza hila za udanganyifu badala pa Kweli. Ilikuwa kwa namna hii ambayo dini ya Roma (papa) ilipata mamlaka yake kwa roho za watu. Na katika kukataa kweli kwa sababu inahusikana na msalaba, Waprotestanti wanafuata njia ile ile. Wote wanaojifunza manufaa na mashauri, ili wasiweze kuwa na tofauti na ulimwengu, wataachwa kupata “uharibifu usiokawia” wakizania ni kweli. 2 Petro 2:1. Yeye anayetazama kwa kuchukia udanganyifu moja atapokea mara hiyo mwingine. “Na kwa maneno haya Mungu anawaletea nguvu ya upotevu, hata waamini uwongo: ili wahukumiwe wote wasioamini kweli, lakini walifurahi katika uzalimu.” 2 Watesalonika 2:11,12.TSHM 255.5

    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents