Loading...
Larger font
Smaller font
Copy
Print
Contents
Tangu Sasa Hata Milele - Contents
  • Results
  • Related
  • Featured
No results found for: "".
  • Weighted Relevancy
  • Content Sequence
  • Relevancy
  • Earliest First
  • Latest First
    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents

    Kutukuza Mamlaka Ya Kibinadamu

    Kristo alikuwa na maoni ya unabii kwa kazi ya kutukuza mamlaka ya kibinadamu kutawala zamiri, ambalo lilikuwa jambo la laana la kitisha katika vizazi vyote. Maonyo yake si kufuata viongozi vipofu waliowekwa kwa ukumbusho kama onyo la upole kwa vizazi wakati vijavyo.TSHM 291.2

    Kanisa la Roma linawekwa akiba ya haki ya kutafsiri Maandiko kwa mapadri. Ingawa matangenezo ilitoa Maandiko kwa wote, lakini kanuni ya namna moja iliyoshikwa kwa Roma inazuia wengi katika makanisa ya Kiprotestanti kutochunguza Biblia wao wenyewe. Wanafundishwa kukubali mafundusho yake kama ilivyofasiriwa na kanisa. Maelfu wanasubutu kutopata kitu, lakini ni wazi katika maandiko, ile inayokuwa kinyume kwa imani yao.TSHM 291.3

    Wengi wanakuwa tayari kutoa nafsi zao kwa mapadri. Wanapita mbali ya mafundusho ya Mwokozi karibu bila kuonywa. Lakini je, wanakuwa wahudumu wasioweza kukosa? Namna gani tunaweza kutumaini uongozi wao isipokuwa tunajua kutoka kwa Neno la Mungu ya kama wanakuwa wachukuaji wa nuru? Ukosefu wa uhodari wa mafundisho unasukuma wengi kufuata watu waliojifunza, na wanakuwa wenye kufungwa bila kuwa na matumaini katika kosa. Wanaona ukweli kwa wakati huu katika Biblia na wanasikia uwezo wa Roho Mtakatifu kufikia matangazo jake, huku wakiruhusu mapadri kuwarudisha kutoka kwa nuru. Shetani anafunga wengi kuwafunga na kamba za hariri za upendo kwa wale wanaokuwa adui za msalaba wa Kristo. Kifungo hiki kinaweza kuwa cha wazazi, cha jamii, cha ndoa ao ujamii wa jamaa nyingi kuwa pamoja. Nafsi chini ya mvuto wao hauna uhodari wa kutii nia zawajibu wao.TSHM 291.4

    Wengi hudai ya kama si kitu cho chote mtu anachoamini, kama tu maisha yake yakiwa kamili. Lakini maisha yanafanywa na imani. Kama ukweli unakuwa ndani unafikia kipimo na tunauzarau, tunaukataa kwa kweli, kuchagua giza badala nuru.TSHM 292.1

    Ujinga hauachiliwi kwa ajili ya kosa la zambi, kama pale kunakuwa na nafasi yo yote, kwa kujua mapenzi ya Mungu. Mtu mmoja anayesafiri anafika mahali ambapo panakuwa njia nyingi na mti wenye mkono wa kuonyesha njia mahali gani kila moja inaongoza. Kama akizarau alama na kukamata njia yo yote inayoonekana kuwa ya haki, angeweza kuwa yakini, lakini katika kubahatisha kule kote atapatikana mwenyewe kwa njia mbaya.TSHM 292.2

    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents