Loading...
Larger font
Smaller font
Copy
Print
Contents
Tangu Sasa Hata Milele - Contents
  • Results
  • Related
  • Featured
No results found for: "".
  • Weighted Relevancy
  • Content Sequence
  • Relevancy
  • Earliest First
  • Latest First
    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents

    Mwito kwa Kupenda Anasa

    Kwa ulafi, kupenda anasa, uasherati, imani ya kuwa na roho za watu waliokufa (spiritisme) inaonyesha umbo la uwongo la werevu kidogo. Katika mifano yao mbaya sana wanapata kitu ambacho kinachokuwa katika umoja na tamaa zake. Shetani anaandika hesabu ya zambi kila mtu kutenda halafu anajihazali ya kwamba saa za kufaa zisipunguke kwa kupendeza mvuto. Anajaribu watu kwa njia ya kutojizuia kwa kupunguza nguvu za mwili, akili na za mafundusho mazuri. Anaharibu maelfu katika mazoezi wa kufurahisha tamaa, kuharibu tabia yote nzima. Na kutimiza kazi yake, pepo wanatangaza kwamba “maarifa ya kweli yanamuweka mtu juu ya sheria yote”; “cho chote kinachokuwa, kinakuwa haki”; ya kwamba “Mungu hahukumu”, na ya kwamba “zambi zote... zinakuwa bila kosa”. Wakati watu wanapoamini ya kwamba tamaa ni sheria ya juu zaidi, ya kwamba uhuru ni ruhusa, ya kwamba mtu ni juu yake mwenyewe tu, nani anayeweza kushangaa ya kwamba uchafu unajaa kwa kila mkono? Wengi kwa moyo wanakubali maongozi ya tamaa mbaya. Shetani anachukua maelfu katika wavu lake wanaodai kufuata Kristo.TSHM 271.1

    Lakini Mungu ametoa nuru ya kutosha kuvumbua mtego huo. Msingi kabisa wa imani ya kuwa kwa roho za watu waliokufa unakuwa kwa vita ikipiganisha Maandiko. Biblia inasema ya kwamba wafu hawajui kitu, ya kwamba mawazo yao yamepotea; hawana sehemu katika furaha wala huzuni ya wale wanaokuwa duniani.TSHM 271.2

    Tena zaidi Mungu amekataza maarifa ya hila yamazungumzo na roho za wafu. “mashetani”. Kama hawa wageni kutoka dunia zingine walikuwa wakiitwa, wanatangazwa na Biblia kuwa “pepo za mashetani”. Tazama Hesabu 25:1-3; Zaburi 106:28; 1 Wakorinto 10:20; Ufunuo 16:14. Kutendeana pamoja nao kulikatazwa katika azabu ya kufa. Walawi 19:31; 20:27. Lakini imani ya kuwa roho za watu waliokufa (spiritisme) imefanya njia yake katika jamii za ujuzoi wakweli ikashambulia makanisa, na kupata upendeleo katika majamii ya wafanya sheria, hata katika majumba ya wafalme. Udanganyifu mkubwa huu ni uamsho katika hila mpya ya uchawi uliohukumiwa zamani.TSHM 271.3

    Kwa kuonyesha ubaya zaidi wa watu kama katika mbingu, Shetani anasema kwa ulimwengu: “Si kitu ukiamini wala usipoamini Mungu na Biblia, uishi kama unanvyopenda; mbingu ni makao yako”.TSHM 272.1

    Neno la Mungu linasema: “Ole wao wanaoita uovu mema, na wanaita mema uovu; wanaoweka giza kwa nuru, na nuru giza.” Isaya 5:20.TSHM 272.2

    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents